Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MTANGAZAJI wa michezo na burudani wa Idhaa ya Kiswahili ya Redio Deutsche Welle ya Ujerumani, Isaac Muyenjwa Gamba ‘Mwanangu’ (pichani kushoto) amefariki dunia mjini Bonn nchini humo.
Habari za kuaminika kutoka nchini Ujerumani, zimesema kwamba Gamba alifikwa na umauti mapema wiki hili, lakini leo ndiyo imegundulika.
Hiyo ni baada ya Gamba kutoonekana ofisini kwake, Deutsche Welle mjini Bonn tangu Jumatatu jambo ambalo liliwafanya wafanyakazi wenzake waende nyumbani kwake na Polisi kumfuatilia na ndipo walipogundua amefariki baada ya kuvunja mlango.
Gamba ambaye ni miongoni mwa watangazaji waliowahi kujipatia umaarufu nchini Tanzania, amewahi kufanya kazi katika vituo kadhaa vya Redio kikiwemo cha Radio One Stereo, Radio Free Africa na Uhuru FM.
Mungu ampumzishe kwa amani Gamba. Amin.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2q1UPCZ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms