Na Mwandishi Wetu, RUANGWA
TIMU ya Yanga SC leo imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na wenyeji, Namungo FC katika mchezo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa Majaliwa mjini Ruangwa mkoani Lindi.
Sare hiyo inamaamanisha vigogo wote wa soka nchini wameshindwa kuifunga timu hiyo ya Daraja la Kwanza, baada ya Agosti mwaka huu, Simba SC nayo kulazimishwa sare ya 0-0 Agosti 11, mwaka huu hapo hapo Ruangwa.
Katika mchezo wa leo, Yanga SC ilitangulia kupata bao kupitia kwa beki wake wa katik Andrew Vincent Chikupe ‘Dante’ (pichani kulia) dakika ya 54 kwa kichwa akimalizia krosi ya winga Deus Kaseke.
Lakini makosa ya safu ya ulinzi yakawapa Namungu FC bao la kusawazisha dakika ya 84, mfungaji akiwa mchezaji wa zamani wa Yanga, Loriant Lusako aliyemchambua kipa kipa Klaus Kindoki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Lakini Yanga SC watajilaumu wenyewe kwa kushindwa kupata ushindi kwenye mchezo wa leo, kwani walitengeneza nafasi nyingine wakashindwa kuzitumia, huku mshambuliaji Mkongo Heritier Makambo akikosa bao la wazi zaidi baada ya kuingia kipindi cha pili.
Kindoki leo ameidakia Yanga SC kwa mara ya nane tangu asajiliwe Julai mwaka huu na kufungwa bao la tano.
Kikosi cha Yanga SC kilikuwa; Klaus Kindoki, Juma Abdul, Gustavo Simon, Cleophas Sospeter, Andrew Vincent ‘Dante’, Maka Edward/Said Juma ‘Makapu’ dk77, Deus Kaseke/Mrisho Ngassa dk65, Thabani Kamusoko/Raphael Daudi dk75, Yohanna Nkomola/Amissi Tambwe dk58, Yussuf Mhilu/Heritier Makambo dk58 na Emmanuel Martin/Matheo Anthony dk65.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2TnmBYb
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms