Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MFANYABIASHARA bilionea, Rostam Aziz ametoa kiasi cha Sh. Milioni 200 kuichangia klabu ya Yanga SC ya Dar es Salaam ifanikishe zoezi la usajili wa kuunda kikosi imara cha msimu ujao.
Ofa hiyo ya Rostam, Mbunge wa zamani wa Igunga, Tabora na aliyekuwa kuwa Mweka Hazina wa CCM imetangazwa Jumamosi katika tamasha la Kubwa Kuliko lilifanyika ukumbi wa Diamond Jubilee mjini Dar es Salaam.
Pamoja na Rostazm, mfanyabiashara mwingine Ghalib kupitia kampuni yake ya GSM ameichangia klabu hiyo Sh. Milioni 300.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyekuwa mgeni rasmi katika Kubwa Kuliko iliyotikisa mji Jumamosi hii ametoa Sh. Milioni 10.
Rais mstaafu wa awamu ya Nne, Jakaya Mrisho Kikwete aliyehudhuria pia shughuli hiyo kwa upande wake ametoa kiasi cha Sh. Milkioni 5.
Mdhamini wa klabu ya Simba SC, Hamisi Kilomoni naye aliibukia kwenye Kubwa Kuliko na kuchangia Sh. 500,000.
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Hamasa na Uchangishaji ya Yanga Anthony Mavunde amesema wamependekeza kwa uongozi kuanzisha wiki maalum itakayoitwa ‘Wiki ya Mwananchi’, itakakayokuwa maalum kwaajili ya wapenzi na wanachama wa Yanga kuitumikia jamii.
Amesema wiki hiyo itakuwa ikifanyika mwezi Agosti kila mwaka na siku ya kilele chake kutafanyika tukio kubwa litakalofanyika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam likiambatana na utambulisho wa wachezaji wao wapya.
“Tumepanga tuwe na Wiki ya Mwananchi’, ambapo wanachama wa Yanga watafanya usafi maeneo katika hospitali, masoko na kutoa misaada mbalimbali. Wiki hiyo ikikamilika tutakutana Uwanja wa Taifa”, amesema Mavunde.
Amesema wamemuomba Rais Magufuli na endapo ataridhia tukio hilo litafanyika mwaka huu ambapo miongoni mwa mambo yatakayofanyika ni kutambulisha wachezaji wao wapya wanane ambao wamesajiliwa kutoka nje ya Tanzania kwaajili ya msimu ujao.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://www.binzubeiry.co.tz/2019/06/kubwa-kuliko-yafana-rostam-aziz-aipa.html
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms