Kylian Mbappe akifunga bao lake la 100 dakika ya 11 kuipatia Ufaransa bao la kwanza katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Andorra Jumanne kwenye mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Taifa mjini Andorra la Vella. Mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Wissam Ben Yedder dakika ya 30, Florian Thauvin dakika ya 45 na ushei na Kurt Zouma dakika ya 60 na kwa ushindi huo Les Bleus wanafikisha pointi tisa sawa na Uturuki na Iceland baada ya wote kucheza mechi nne, wakifuatiwa na Albani pointi sita, Moldova pointi tatu na Andorra 0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2R92We3
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MBAPPE AFUNGA BAO LA 100 UFARANSA YAICHAPA ANDORRA 4-0. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2019/06/mbappe-afunga-bao-la-100-ufaransa.html. Terimakasih atas perhatiannya.