Leroy Sane akimpongeza Marco Reus (kulia) baada ya kuifungia Ujerumani mabao mawili dakika za 10 na 37 katika ushindi wa 8-0 dhidi ya Estonia kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Euro 2020 Uwanja wa OPEL Arena mjini Mainz. Sana naye alifunga bao la nane dakika ya 88, wakati mabao mengine ya Ujerumani yamefungwa na Serge Gnabry dakika ya 17 na 62, Leon Goretzka dakika ya 20, Ilkay Gundogan kwa penalti dakika ya 26 na Timo Werner dakika ya 79. Ujerumani inafikisha pointi katika mchezo wa tatu na inaendelea kushika nafasi ya pili nyuma ya Ireland Kaskazini yenye pointi 12 za mechi nne, wakati Uholanzi yenye pointi tatu za mechi mbili ni ya tatu ikifuatiwa na Belarus na Estonia ambazo hazina pointi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/31qvPHf
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang UJERUMANI YAIFUMUA ESTONIA MABAO 8-0 KUFUZU EURO 2020. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2019/06/ujerumani-yaifumua-estonia-mabao-8-0.html. Terimakasih atas perhatiannya.