Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Mrisho Kikwete amewaasa viongozi nchini kutotumia ushabiki wao wa mpira kukandamiza timu pinzani.
Jakaya, maarufu kama JK ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye tamasha maalum la kuchangia klabu ya Yanga Jumamosi ukumbi wa Diamond Jubilee lililojulikana kama “Kubwa Kuliko”.
“Unatumia ushabiki wako wa mpira kukandamiza timu nyingine,” alisema Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akitoa angalizo kwa viongozi wa Serikali.
Pamoja na hayo, Rais Kikwete klabu nchini ziwekeze kwenye soka ya vijana ili kuinua vipaji kuliko kugombea wachezaji wa kigeni, kwani kufanya hivyo ni kuawafaidishia wenzao.
Rais Mstaafu Kikwete pia alisema Yanga kwa sasa imepoteza makali yake kiasi kwamba inazidiwa na mahasimu wao wa jadi, Simba.
Kauli hiyo iliungwa mkono na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa ambaye alisema klabu hiyo inatakiwa kujiimarisha tena ili kurejesha ushindani katika soka nchini; “Bila Yanga imara, hakuna Simba imara,” alisema Majaliwa.
Pamoja na hayo, Waziri Mkuu alitoa Sh. Milioni 10 kama mchango wake kwenye harambee ya Yanga, huku Kikwete akichangia Sh. Milkioni 5.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2WN00cM
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms