Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU ya vijana ya Azam FC (Azam U-20) imetinga nusu fainali ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa vijana chini ya umri wa miaka 20 (U-20 Premier League) baada ya kuichapa Biashara United mabao 3-1 usiku huu.
Huo ni ushindi wa pili mfululizo kwa kikosi hicho kwenye hatua ya nane bora ya michuano hiyo ikiwa Kundi B, ambapo mechi ya kwanza iliichapa Tanzania Prisons 2-0.
Mabao ya Azam U-20 usiku huu yamefungwa na nahodha wa timu hiyo, Lusajo Mwaikenda, Abadi Kawambwa na Agiri Ngoda, aliyehitimisha ushindi huo.
Mbali na Azam U-20, timu nyingine ya kundi hilo iliyofuzu nusu fainali ni Mtibwa Sugar, iliyoichapa Prisons 3-1 kwenye mchezo wa awali uliofanyika jioni.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2MNueYL
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms