RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Ahmad ameachiwa huru na Taasisi Kuu ya Kupambana na Rushwa nchini Ufaransa (OCLCIFF).
Katika taarifa yake kwa vyombo vya Habari, Mwendesha Mashitaka wa Marseille, Xavier Tarabeux amesema Ijumaa kwamba Ahmad ameachiwa bila kufunguliwa mashitaka.
Ahmad alitiwa mbaroni Ijumaa nchini Ufaransa ambako alikuwa akihudhuria Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).
Rais wa CAF, Ahmad ameachiwa huru na nchini Ufaransa baada ya kukamatwa akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa FIFA
Ahmad Ahmad raia wa Madagascar alikamatwa ikiwa siku moja baada ya kuongoza kikao cha kamati ya utendaji ya CAF iliyoamuru kurudiwa kwa mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Esperance na Wydad Casablanca baada ya kubainika kuwa ilikuwa na ukiukwaji wa taratibu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/31iP3hJ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms