Angel Correa akipongezwa na Koke baada ya kuifungia Atletico Madrid bao la ushindi dakika ya 86 ikiilaza 3-2 Barcelona katika Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme jana Uwanja wa King Abdullah Sports City Jijini Jeddah. Mabao mengine ya Atletico Madrid yalifungwa na Koke dakika ya 46 na Alvaro Morata kwa penalti dakika ya 81, wakati ya Barcelona yalifungwa na Lionel Messi dakika ya 51 na Antoine Griezmann dakika ya 62. Atletico sasa itamenyana na mahasimu wao wa Jiji, Real Madrid katika fainali Jumapili hapo hapo King Abdullah Sports City, Jeddah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/39YgQs6
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms