Bilionea Mohamed 'Mo' Dewji akiwa kwenye kikao cha dharula na Wajumbe wa Bodi ya Ukurugenzi ya Simba SC, Salim Abdallah 'Try Again' leo Jijini Dar es Salaam, Dewji alitangaza kujiuzulu Uenyekiti wa Bodi jana baada ya Simba kuchapwa 1-0 na Mtibwa Sugar katika fainali ya Kombe la Mapinduzi Uwanja wa Amaan, Zanzbar kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Lakini leo baada ya kikao hicho akaikana Tweet hiyo akisema haelewi kilichotokea kwenye akaunti yake jana na kuwahakikishia wana Simba kwamba bado yuko nao bega kwa bega na sasa anaelekeza nguvu kwenye Ligi Kuu
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2Tm5Ejl
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms