Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
NYOTA wa timu ya vijana ya Azam FC 'Azam U-20' na timu ya Taifa ya Vijana 'Ngorongoro Heroes', Tepsi Evance, amewasili nchini Ufaransa kwa ajili ya kujiunga na timu ya Nantes.
Tepsi aliondoka jana pamoja na wakala anayetambulika na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Kambi Seif kwenda Nantes kwa ajili ya mafunzo hadi atakapotimiza umri wa miaka 18 baadae mwaka huu asaini mkataba.
Evance atakapofikisha umri huo, atajiunga moja kwa moja na timu ya wakubwa ya Nantes inayoshiriki Ligi Kuu nchini humo (Ligue 1).
Tepsi Evance akiwa makao makuu ya klabu ya Nantes baada ya kuwasili Ufaransa jana
Tepsi ni mmoja kati ya vijana wanne waliopatikana kwenye usahili uliofanywa na Cambiasso Sports na Rainbow Sports Novemba mwaka jana, kwenye Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
Mchezaji mwingine wa Azam U-20, aliyefuzu kwenye usahili huo ni nahodha, Samuel Onditi, ambaye anasubiria taratibu za Visa zikamilike sambamba na wachezaji wengine wawili.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/37m3mES
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms