Mchezaji Bora wa Kiume wa Mwaka: Sadio Mane
Mchezaji Bora wa Kike wa Mwaka: Asisat Oshoala
Mchezaji Bora Chipukizi wa Mwaka: Achraf Hakimi
Timu ya Mwaka: Onana, Aurier, Matip, Koulibaly, Hakimi, Gueye, Mahrez, Zyech, Salah, Aubameyang, Mane
Goli Bora la Mwaka: Mahrez (mpira wa adhabu Nusu Fainali AFCON)
Kocha Bora wa Mwaka: Djamel Belmadi
Kocha Bora wa Kike wa Mwaka: Diseree Ellis
Timu Bora ya Mwaka: Algeria
Timu Bora ya Mwaka ya Wanawake: Cameroon