Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KLABU ya Yanga SC imemsajili mchezaji mpya kutoka Zambia, winga Erick Kabamba kutoka klabu ya Buildcon FC ya kwao, Zambia.
Mchezaji huyo aliyekuwa anacheza klabu hiyo ya Zambia pamoja na beki Mghana aliyejiunga na Yanga mwanzoni mwa msimu, Lamine Moro anafanya jumla ya wachezaji wapya waliosajiliwa dirisha dogo kufika saba.
Wengine ni viungo Mnyarwanda Haruna Niyonzima, Mghana Bernard Morrison na mshambuliaji Muivory Coast, Yikpe Gnamien Gislain kwa upande wa wageni ni wazawa, beki Adeyoum Ahmed na washambuliaji Tariq Seif Kiakala na Ditram Adrian Nchimbi.
Baada ya kusajiliwa wachezaji hao wapya saba, Yanga imewaacha wengine sita ambao ni Mrundi Suleiman Mustapha, Mnyarwanda Issa Bigirimana Mnambia, Sadney Urikhob, Mzambia Maybin Kalengo, Mganda Juma Balinya na mzawa Muharami Issa ‘Marcelo’.
Wengine wametolewa kwa mkopo ambao ni mabeki Cleophas Sospeter, Ali Hamad Ali na kiungo Raphael Daudi Lothi.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3amIaAA
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms