MABINGWA watetezi, Bayern Munich watamenyana na Lazio ya Italia katika Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya mwakani.
Chelsea itamenyana na Atletico Madrid, wakati Liverpool wataivaa RB Leipzig na Manchester City itacheza na Borussia Monchengladbach.
Barcelona ya Lionel Messi itamenyana na Paris Saint-Germain ya Neyamr, wakati Cristiano Ronaldo ataiongoza Juventus dhidi ya Porto ya nyumbani kwao, Ureno.
Lionel Messi (kulia) ataiongoza Barcelona dhidi ya PSG iliyofika fainali na kufungwa na Bayer Munich msimu uliopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mechi nyingine za hatua hiyo Sevilla itamenyana na Borussia Dortmund, wakati mabingwa mara 13, Real Madrid watamenyana na Atalanta.
Mechi za kwanza zitachezwa na kati ya Februari 16, 17 na 23 na 24 , na za marudiano zitachezwa kati yaMachi 9 na 10 na 16 na 17 mwakani, 2021.
RATIBA KAMILI
Gladbach v Man City
Lazio v Bayern
Atletico v Chelsea
Leipzig v Liverpool
Porto v Juventus
Barcelona v PSG
Sevilla v Dortmund
Atalanta v Real Madrid
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2INlX5X
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms