BEKI wa Mamelodi Sundowns na timu ya taifa ya Afrika Kusini, Motjeka Madisha amefariki dunia kwa ajali ya gari.
Taarifa ya Shirikisho la Soka Afrika Kusini (SAFA) leo imesema kwamba Madisha amefariki dunia akiwa ana umri wa miaka 25 baada ya ajali ya gari mapema leo.
Rais wa SAFA, Dk. Danny Jordaan na kocha wa Bafana Bafana, Molefi Ntseki wamepokea kwa masikitoko makubwa msiba huo.
Madisha anakuwa beki wa pili wa Sundowns kufariki kwa ajali ya gari ndani ya mwezi mmoja, baada ya Anele Ngcongca kupoteza maisha katika ajali kamahiyo mashariki kwa Jiji la Durban Novemba 23.
Madisha aliichezea Afrika Kusini mechi 13, akifunga bao moja na alikuwa beki wa kati chaguo la kwanza wa kikosi cha Sundowns kilichoshinda taji la Ligi ya Mabingwa mwaka 2016 ambacho pia kilifika Nusu Fainali mara moja na Robo Fainali mara mbili.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3a7vboU
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang BEKI WA MAMELODI SUNDOWNS AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2020/12/beki-wa-mamelodi-sundowns-afariki-dunia.html. Terimakasih atas perhatiannya.