Na Mwandishi Wetu, MBEYA
MABINGWA watetezi, Simba SC wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, Nahodha na mshambuliaji tegemeo wa timu, John Raphael Bocco dakika ya 32 akimalizia pasi ya kiungo Mzambia, Clotous Chama.
Na kwa ushindi huo, Simba SC inafikisha pointi 29 baada ya kucheza mechi 13 na kupanda hadi nafasi ya pili, sasa wakizidiwa pointi nane na vinara, Yanga SC ambao hata hivyo wamecheza mechi mbili zaidi.

from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2LBfSux
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms