Gerard Houllier amefariki dunia akiwa ana umri wa miaka 73 wiki tatu baada ya kufanyiwa upasuaji wa moyo Jijini Paris PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MATAJI ALIYOSHINDA GERARD HOULLIER
PSG
Daraja la Kwanza - 1985-86
LIVERPOOL
Kombe la FA - 2000-01
Kombe la Ligi - 2000-01, 2002-03
Kombe la UEFA - 2000-01
Ngao ya Jamii - 2001
UEFA Super Cup - 2001
LYON
Ligue 1 - 2005-06, 2006-07
Taji la Mabingwa - 2005, 2006
UFARANSA
Ubingwa wa Euro U-18 - 1996
KOCHA wa zamani wa Liverpool na Aston Villa, Gerard Houllier amefariki dunia akiwa ana umri wa miaka 73 wiki tatu baada ya kufanyiwa upasuaji wa moyo Jijini Paris.
Mfaransa huyo ambaye pia amefundisha Paris Saint-Germain na Lyon za kwao, amekuwa akisumbuliwa na matatizo ya Kiafya kwa muda, tatizo lake kubwa likiwa ni moyo na shinikizo la damu - lakini sababu ya kifo chake bado haijulikani.
Houllier, aliyeiongoza Liverpool kutwaa mataji matatu mwaka 2001, anapewa heshima kubwa mno na wachezaji aliowafundisha enzi hizo wakisema ni kocha wa kiwango cha juu kitaaluma, mwenye haiba halisi ya kiume na asiyepoenda kujikweza.
Kwa pamoja kituo cha Radio cha RMC na gazeti la L'Equipe, vyombo vya Habari vya Ufaransa vimeripoti kwamba Houllier amefariki dunia baada ya kufanyiwa upasuaji wa moyo Jijini Paris. Kwa mujibu wa mwandishi wa jarida la L'Equipe, Vincent Duluc, Houllier alikwenda kufanyiwa upasuaji huo wik tatu zilizopita na alitolewa hospitali kurejeshwa nyumbani Jumapili.
Aliripotiwa kutuma ujumbe wa maandishi kwa simu mwishoni mwa wiki ukisema: "Nahangaika, lakini nitaondoka katika hali hii,".
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2Was47v
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KOCHA WA ZAMANI WA LIVERPOOL, GERARD HOULLIER AFARIKI DUNIA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2020/12/kocha-wa-zamani-wa-liverpool-gerard.html. Terimakasih atas perhatiannya.