TIMU ya Azam FC imelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Namungo FC ya Ruangwa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Mara mbili winga Iddi Suleiman ‘Nado’ aliitanguza Azam FC dakika ya 19 na 74, lakini mar azote Namungo FC ikasawazisha kupitia kwa beki Edward Charles Manyama dakika ya 25 na mshambuliaji Mghana, Stephen Sey dakika ya 90 na ushei.
Na kwa matokeo hayo, Azam FC inafikisha pointi 26 baada ya kucheza mechi 15 na inabaki nafasi ya tatu nyuma ya mabingwa watetezi, Simba SC wenye pointi 29 za mechi 13 na Yanga SC wenye pointi 37 za mechi 15 pia.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3nepdpT
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms