Na Asha Kigundula, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa zamani wa jimbo la Kilwa, Murtaza Ally Mangungu leo amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa klabu ya Simba baada ya kumshinda aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Alhaj Juma Nkamia, Mbunge wa zamani wa jimbo la Chemba, wote CCM katika uchaguzi uliofanyika Jijini Dar es Salaam.
Katika uchaguzi huo mdogo wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Mwenyekiti, Swedi Nkwabi aliyejiuzulu Septemba 14, mwaka 2019, Mangungu alipata kura 802, sawa asilimia 70.3 dhidi ya mpinzani wake Nkamia aliyeipata kura 360, sawa na asilimia 28.9 katika zoezi lililohusiaha wanachama 1146, huku kura nane tu zikiharibika.
Mapema katika mkutano huo, Mtendaji Mkuu wa klabu, Barbara Gonzalez alimtangaza Fatema Dewji kuwa mlezi wa timu ya wanawake, Simba Queens.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3oY2zlB
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms