Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MABINGWA watetezi, Simba SC wamelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Sare hiyo inaifanya Simba inayofundishwa na Mfaransa Didier Gomes Da Rosa ifikishe pointi 39 baada ya kucheza mechi 17 na kuendelea kukamata nafasi ya pili, nyuma ya watani wao wa jadi, Yanga SC wenye pointi 44 za mechi 18.
Azam FC inayofundishwa na kocha Mzambia, George Lwandamina ‘Chicken’ inafikisha pointi 33 na inabaki nafasi ya tatu, ikiwazidi pointi nne Biashara United ya Mara baada ya timu zote kucheza mechi 18.

from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2Z75Zs1
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms