TIMU ya Paris Saint-Germain imetanguliza mguu mmoja Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji na mabingwa watetezi, Bayern Munich katika mchezo wa Robo Fainali ya kwanza ya michuano hiyo usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich, Ujerumani.
Mabao ya PSG ya Ufaransa yalifungwa na Kylian Mbappe mawili dakika ya tatu na 68 na Marquinhos dakika ya 28, wakati ya mabingwa wa dunia yalifungwa na washambuliaji Mcameroon Jean-Eric Maxim Choupo-Moting dakika ya 37 na mkongwe wa Ujerumani, Thomas Muller dakika ya 60.
Timu hizo zitarudiana Aprili 13 Uwanja wa Parc des Princes Jijini Paris na mshindi wa jumla atakutana na mshindi wa jumla kati ya Manchester City na Borussia Dortmund. Man City ilishinda 2-1 juzi England.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3dHZt1v
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MBAPPE APIGA MBILI PSG YAILAZA BAYERN MUNICH 3-2 UJERUMANI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2021/04/mbappe-apiga-mbili-psg-yailaza-bayern.html. Terimakasih atas perhatiannya.