TIMU ya Azam FC imefanikiwa kwenda Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji, Mashujaa FC jioni ya leo Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma.
Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, winga Iddi Suleiman Ally ‘Nado’ dakika ya 45’+4 kwa shuti la mpira wa adhabu lililompita kipa wa zamani wa Yanga, Erick Johola.
Azam FC sasa watakutana na Yanga SC katika Nusu Fainali ya michuano hiyo baada ya mabingwa watetezi kuwatoa JKT Tanzania kwa kuwachapa mabao 2-0 jana Uwanja wa Meja Jenerali Charles Isamuhyo, Mbweni, Dar es Salaam.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/ZybNmW8
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM FC YAIFUATA YANGA SC NUSU FAINALI KOMBE LA CRDB. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/05/azam-fc-yaifuata-yanga-sc-nusu-fainali.html. Terimakasih atas perhatiannya.