TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Ilikuwa siku nyingine nzuri kwa nyota wa timu hiyo, kiungo mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Feisal Salum Abdallah aliyefunga mabao mawili dakika ya tatu na 16, huku bao lingine likifungwa na beki wa kati wa Kimataifa wa Mali, Yoro Mamadou Diaby dakika ya 34.
Kwa ushindi huo, Azam FC inafikisha pointi 52, ingawa inabaki nafasi ya tatu nyuma ya mabingwa watetezi, Yanga SC wanaoongoza kwa pointi zao 60 wakifuatiwa na vigogo wenzao, Simba SC wenye pointi 58 baada ya timu hizo zote tatu kucheza mechi 25.
Hali inazidi kuwa mbaya kabisa kwa KMC kufuatia kupoteza mchezo huo, wakibaki na pointi zao tisa baada ya kucheza mechi 25 pia hivyo kuendelea kushika mkia kwenye Ligi Kuu inayoshirikisha timu 16.
Ikumbukwe mwisho wa msimu timu mbili zitashuka Daraja moja kwa moja, wakati nyingine mbili zitakazomaliza nafasi ya 14 na 13 zitamenyana baina yao kwa mechi mbili za nyumbani na ugenini na mshindi wa jumla atasalia Ligi Kuu.
Timu itakayofungwa itakwenda kumenyana na timu kutoka Ligi ya Championship katika mechi nyingine mbili za mchujo nyumbani na ugenini na mshindi wa jumla ndiye atacheza Ligi Kuu msimu ujao.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/lnFdjNw
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang FEISAL NAYE APIGA MBILI AZAM YAITANDIKA KMC 3-0 CHAMAZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/05/feisal-naye-apiga-mbili-azam-yaitandika.html. Terimakasih atas perhatiannya.