TANZANIA imefanikiwa kwenda Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 17(AFCON U17) baada ya ushindi wa penalti 4-3 dhidi ya Misri kufuatia sare ya bila kufungana usiku huu Uwanja wa Moulay El Hassan Jijini Rabat nchini Morocco.
Pongezi kwa kipa wa Serengeti Boys, Haji Ally Abdallah aliyeokoa mikwaju ya penalti ya Abdullah Amr na Mohamed Nour – huku za Abdelaziz Khaled Shabaan Said, Amir Abu El Ezz na Mohamed Gamal pekee wakifanikiwa kumtungua mlinda mlango huyo hodari wa Tanzania.
Waliofunga penalti za Tanzania ni Luqman Mbalasalu, Kassim Juma, Idrisa Kilendemo na Erick Yusuph huku ya Razaki Mbegelendi ikiokolewa na kipa wa Mafarao Wadogo, Malik Amr.
Tanzania sasa inasubiri mshindi wa Nusu Fainali ya pili kati ya wenyeji, Morocco na Senegal zinazomenyana muda huu hapo hapo Uwanja wa Moulay El Hassan ikutane naye katika Fainali Juni 2.
Huu unakuwa mwaka mzuri kwa Serengeti Boys kwa Tanzania katika ushiriki wake wa michuano ya U17 ya wavulana, ikiweka rekodi nyingine ya kwenda Fainali baada ya kuvuka hatua ya makundi kwa mara ya kwanza sambamba na kufuzu Kombe la Dunia.
Mafanikio hayo yanakuja Tanzania ikishiriki kwa kwa mara ya tatu AFCON U17 baada ya mwaka 2017 nchini Gabon na 2019 nyumbani, Tanzania ambako mara zote walitolewa katika hatua ya makundi.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/aR4s2E3
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TANZANIA YATINGA FAINALI AFCOM U17, YAITOA MISRI KWA MATUTA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/05/tanzania-yatinga-fainali-afcom-u17.html. Terimakasih atas perhatiannya.