• Home
  • About Us
  • Contact Us
  • Disclaimer
  • Sitemap
  • Privacy Policy

Viral Sports

MENU

  • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG
  • BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE
  • BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE
  • Hollywoodbets Sports Blog

Mengenai Saya

admin blog
Lihat profil lengkapku

Arsip Blog

  • ▼  2026 (190)
    • ▼  Mei (13)
      • SERENGETI BOYS YAANZA VYEMA AFCON U17 MOROCCO
      • YANGA NA GSM WASAINI MKATABA WA UJENZI WA UWANJA K...
      • AZAM FC YAIBAMIZA PAMBA JIJI FC 2-0 ZA DAKIKA ZA L...
      • CHAMA APIGA MBILI SIMBA YAICHAPA MASHUJAA FC 3-0 P...
      • TANZANIA PRISONS YAONA MWEZI, YAICHAPA FOUNTAIN GA...
      • DODOMA JIJI WAVUNJA REKODI YA YANGA, WAICHAPA 3-2 ...
      • COASTAL UNION YAIKANDA MBEYA CITY 2-0 PALE PALE SO...
      • TRA UNITED YAAMBULIA SARE KWA JKT TANZANIA, 1-1 AR...
      • NDUWUMWE AFUNGA TENA SINGIDA BLACK STARS YAILAZA N...
      • CHAMA AFUNGA TENA SIMBA SC YAICHAPA TANZANIA PRISO...
      • JKT TANZANIA YAICHAPA MBEYA CITY 1-0 MBWENI
      • OKELLO AFUNGA MAWILI YANGA YAICHAPA COASTAL UNION ...
      • MOSSI NDUWUMWE AFUNGA MAWILI SINGIDA BLACK STARS Y...
    • ►  April (34)
    • ►  Maret (34)
    • ►  Februari (42)
    • ►  Januari (67)
  • ►  2025 (318)
    • ►  Desember (70)
    • ►  November (4)
    • ►  September (1)
    • ►  Juli (2)
    • ►  Juni (8)
    • ►  Mei (44)
    • ►  April (66)
    • ►  Maret (36)
    • ►  Februari (57)
    • ►  Januari (30)
  • ►  2024 (832)
    • ►  Desember (57)
    • ►  November (49)
    • ►  Oktober (54)
    • ►  September (67)
    • ►  Agustus (63)
    • ►  Juli (78)
    • ►  Juni (68)
    • ►  Mei (84)
    • ►  April (92)
    • ►  Maret (77)
    • ►  Februari (65)
    • ►  Januari (78)
  • ►  2023 (1299)
    • ►  Desember (79)
    • ►  November (75)
    • ►  Oktober (88)
    • ►  September (95)
    • ►  Agustus (112)
    • ►  Juli (125)
    • ►  Juni (126)
    • ►  Mei (117)
    • ►  April (148)
    • ►  Maret (135)
    • ►  Februari (82)
    • ►  Januari (117)
  • ►  2022 (1404)
    • ►  Desember (71)
    • ►  November (79)
    • ►  Oktober (117)
    • ►  September (120)
    • ►  Agustus (115)
    • ►  Juli (119)
    • ►  Juni (121)
    • ►  Mei (123)
    • ►  April (121)
    • ►  Maret (119)
    • ►  Februari (130)
    • ►  Januari (169)
  • ►  2021 (2522)
    • ►  Desember (170)
    • ►  November (124)
    • ►  Oktober (138)
    • ►  September (190)
    • ►  Agustus (154)
    • ►  Juli (141)
    • ►  Juni (133)
    • ►  Mei (134)
    • ►  April (252)
    • ►  Maret (348)
    • ►  Februari (355)
    • ►  Januari (383)
  • ►  2020 (4463)
    • ►  Desember (387)
    • ►  November (405)
    • ►  Oktober (348)
    • ►  September (394)
    • ►  Agustus (435)
    • ►  Juli (433)
    • ►  Juni (372)
    • ►  Mei (244)
    • ►  April (248)
    • ►  Maret (355)
    • ►  Februari (392)
    • ►  Januari (450)
  • ►  2019 (4532)
    • ►  Desember (328)
    • ►  November (367)
    • ►  Oktober (420)
    • ►  September (394)
    • ►  Agustus (411)
    • ►  Juli (364)
    • ►  Juni (318)
    • ►  Mei (360)
    • ►  April (382)
    • ►  Maret (419)
    • ►  Februari (365)
    • ►  Januari (404)
  • ►  2018 (5483)
    • ►  Desember (328)
    • ►  November (450)
    • ►  Oktober (535)
    • ►  September (484)
    • ►  Agustus (487)
    • ►  Juli (481)
    • ►  Juni (431)
    • ►  Mei (483)
    • ►  April (393)
    • ►  Maret (435)
    • ►  Februari (419)
    • ►  Januari (557)
  • ►  2017 (5921)
    • ►  Desember (477)
    • ►  November (567)
    • ►  Oktober (506)
    • ►  September (518)
    • ►  Agustus (555)
    • ►  Juli (535)
    • ►  Juni (465)
    • ►  Mei (471)
    • ►  April (459)
    • ►  Maret (448)
    • ►  Februari (441)
    • ►  Januari (479)
  • ►  2016 (2138)
    • ►  Desember (445)
    • ►  November (509)
    • ►  Oktober (482)
    • ►  September (466)
    • ►  Agustus (236)
Diberdayakan oleh Blogger.
Home » BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE » YANGA NA GSM WASAINI MKATABA WA UJENZI WA UWANJA KWA UMILIKI SAWA

YANGA NA GSM WASAINI MKATABA WA UJENZI WA UWANJA KWA UMILIKI SAWA


KLABU ya Yanga imesaini mkataba wa ubia na kampuni ya GSM kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa kisasa makao makuu ya klabu hiyo eneo la Jangwani, Dar es Salaam.
Katika hafla hiyo iliyohudhuriwa na mgeni rasmi, Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila imefanyika asubuhi ya leo kwenye eneo la mradi, Jangwani, Kampuni ya GSM ikiwakilishwa na Rais wake, Bilionea Ghalib Said Mohamed na Maafisa wengine, Yanga ikiwakilishwa na Rais wake, Mhandisi Hersi Ally Said na Wajumbe wa Kamati ya Utendaji.
“Nathibitisha rasmi leo kuwa Young Africans S.C. imeingia katika makubaliano ya ubia wa umiliki wa uwanja wetu mpya kwa uwiano wa asilimia 50 kwa 50 na GSM Group,”alisema, Rais wa Yanga SC Hersi.
Katika ubia huo wa Asilimia 50 kwa 50 za umiliki wa Uwanja huo, Yanga wametoa eneo la mradi, yaani ardhi wakati GSM Group wanatoa fedha za ujenzi huo.

Hersi amesema kwamba matarajio yao ni kwamba ujenzi wa uwanja huu utakamilika na kuzinduliwa rasmi ndani ya kipindi cha miezi 18 hadi 20 ijayo wakiwa na matumaini makubwa kwamba mradi huu utakamilika kwa wakati uliopangwa na kuwa sehemu muhimu ya historia ya klabu yao.
“Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa mara nyingine kwa Ghalib Said Mohamed pamoja na familia yake, kwa maamuzi yao makubwa na ya kizalendo waliyochukua kwa ajili ya kusaidia kutimiza ndoto ya muda mrefu ya Young Africans S.C.” Eng. Hersi Ally Said,”.

“Kwa kipindi cha takribani miaka 90, klabu hii imeendelea kubeba ndoto na dhamira ya dhati ya kuwa na uwanja wake binafsi. Sisi, kama Wananchi tunajivunia mno maono, juhudi na uzalendo wa viongozi waliotutangulia. Viongozi hao walijitolea kwa hali na mali kuhakikisha wanatuachia msingi imara unaobeba historia, heshima na utambulisho wa klabu yetu,”.
“Kupitia juhudi zao, klabu ilifanikiwa kumiliki eneo la ardhi lenye ukubwa wa mita za mraba 35,000 hazina ambayo imehifadhiwa kwa zaidi ya miaka 50. Leo hii, kwa fahari kubwa Wananchi tunaelekea kutimiza ndoto hiyo ya kihistoria kwa kuanza safari ya kujenga uwanja wetu wenyewe,” amesema Hersi aliyeingia madarakani Jumamosi ya Julai 9, mwaka 2022.
Rais huyo wa Yanga dhamira yake wakati anaingia katika uongozi ilikuwa ni kuhakikisha klabu inajenga Uwanja wake, lakini alibaini kuwa kabla ya kufikia hatua hiyo kulikuwa kuna umuhimu wa kwanza kuipa klabu mafanikio ya ndani ya Uwanja ili kuvutia wawekezaji.
“Tulipoanza kufanya vizuri na kupata mafanikio, watu wengi walivutiwa kuwekeza ndani ya klabu yetu. Hali hiyo ikaamsha ari, hamasa na matumaini mapya ya kutimiza ndoto ya kuwa na uwanja wetu wenyewe. Aidha, idadi ya wanachama imeongezeka kwa kiasi kikubwa, ndani na nje ya nchi,”.
“Tulipotangaza zabuni ya ujenzi wa uwanja, wawekezaji wengi walijitokeza kuonesha nia ya kushiriki katika mradi huo. Baada ya kupitia mchakato husika, Kamati Kuu hatimaye iliidhinisha GSM Group kuwa mbia mkuu wa ujenzi wa uwanja huo,” amesema Hersi.

Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya GSM, Mama Aisha Mohammed alisema baada ya kusaini mkataba huo wa ujenzi wa uwanja wa kisasa na Yanga SC, watahakikisha utekelezaji wake unazalisha Uwanja ulio bora na wa kipekee kwa Wananchi. 
Kwa upande wake, Rais wa GSM,  Ghalib Said Mohammed hakuwa na mengi wakati wa kuzungumza ulipowadia kwa kusema tu; “Yanga Bingwa” kama ilivyo kawaida yake kwenye hafla mbalimbali za klabu hiyo.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert John Chalamila akizungumza kwenye Hafla hiyo iliyohudhuriwa na wadau wengine mbalimbali wakiwemo viongozi wa TFF na wachezaji wa zamani wa klabu hiyo, alimpongeza Ghalib kwa uwekezaji wake Yanga SC kwa ujumla.
“Watu kama GSM ni wa kuwalinda sana. Ukiona mtu anachukua timu, kelele za mishahara zinapotea, timu inasajili vizuri, halafu inaachana na heka heka za vilio ghafla wanahamia kwenye ujenzi wa uwanja, basi ujue klabu hiyo imepata mtu sahihi. Wananchi mnapaswa kumlinda sana Ghalib Said Mohamed,”. 


“Nafikiri mmeona mchango wa GSM kwa Klabu yetu, hatimaye anatujengea uwanja. Klabu hii haiendeshwi kwa mdomo na makelele pekee. Hatuwezi kutegemea wafadhili pekee yake. Huwezi kuwa mtu ambaye unakosoa tu timu ikifungwa, fukuza makocha lakini huchangii chochote. Ni muda sasa kuchangia klabu hii ili kusaidia klabu kupiga hatua,” alisema Chalamila na kuongeza;
“Ujenzi wa uwanja wa wa Yanga unahitaji sana miundo mbinu ya eneo la Jangwani kuwa imara. Rais wa Jamhuri ya Muungano Dokta Samia Suluhu alitenga zaidi ya mabilion 10 kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Jangwani. Tunamshukuru sana Mh Rais kwa kuondoa adha ya mafuriko eneo hilo ili kutoa fursa ya ufanisi wa ujenzi wa uwanja wa Yanga SC,”.




from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/4rTtDeo best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm, lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today, mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma, mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer, mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney, mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390, mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Tweet

Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA NA GSM WASAINI MKATABA WA UJENZI WA UWANJA KWA UMILIKI SAWA . Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/05/yanga-na-gsm-wasaini-mkataba-wa-ujenzi.html. Terimakasih atas perhatiannya.

Related Posts

di 08.10
Label: BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE

{ 0 komentar... read them below or add one }


Posting Komentar

Posting Lebih Baru Posting Lama Beranda

Popular Posts

  • SHIME ANAAMINI TANZANIA ITAICHAPA UGANDA KESHO KUFUZU KOMBE LA DUNIA WANAWAKE U-17
    SHIME ANAAMINI TANZANIA ITAICHAPA UGANDA KESHO KUFUZU KOMBE LA DUNIA WANAWAKE U-17
    Na Stella Theopist, DAR ES SALAAM  KOCHA Mkuu wa timu ya wanawake u-17  ya Tanzania, Bakari Shime amesema kuwa kikosi kimejipanga kufanya v...
  • MSHIRIKI MISS AFRIKA UINGEREZA AHADITHIA MAMBO YALIVYO
    MSHIRIKI MISS AFRIKA UINGEREZA AHADITHIA MAMBO YALIVYO
    MTANZANIA Alice Gyunda miongoni mwa washiriki 20 kutoka nchi mbalimbali za Afrika waliofanikiwa kuingia kwenye kinyang'anyiro cha taj...
  • TUZO ZA LIGI KUU ZABORESHWA, SASA WACHEZAJI KUPEWA NA KING'AMUZI CHA AZAM TV
    Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB) Boniface Wambura, akionyesha tuzo atakayokuwa akipewa Mchezaji bora wa mwezi wa Ligi Kuu ya Vod...
  • BARCELONA 3-1 ALAVES
    BARCELONA 3-1 ALAVES
    from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2s2Iqyx
  • ARSENAL YAMUONGEZEA MSHAHARA SANCHEZ ASIENDE BAYERN MUNICH
    KLABU ya Arsenal imempa ofa nyingine mshambuliaji wake, Alexis Sanchez aachane na mpango wa kwenda Bayern Munich na abaki Emirates. Ofa mp...
  • EPL: Week 36 Preview
    EPL: Week 36 Preview
    We preview week 36 of the 2017/18 English Premier League season which is set to get underway on Saturday 28 April.  We’re into the final s...
  • CHELSEA YAREJEA KILELENI ENGLAND
    CHELSEA YAREJEA KILELENI ENGLAND
    BAO pekee la beki wa kimataifa wa England, Ben Chilwell dakika ya 45 limeipa Chelsea ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Brentford Uwanja wa...
  • Hollywoodbets Extends Horse Racing Sponsorship with Grooms' Initiative
    Hollywoodbets Extends Horse Racing Sponsorship with Grooms' Initiative
    Hollywoodbets have extended their original R10 million three-year sponsorship of Gold Circle by a further R1.5 million per year with the an...
  • ENGLAND YALAZIMISHWA SARE WEMBLEY
    ENGLAND YALAZIMISHWA SARE WEMBLEY
    WENYEJI, England wamelazimishwa sare ya 1-1 na Hungary katika mchezo wa Kundi I kufuzu Kombe la Dunia kwa Ulaya usiku wa kuamkia leo Uwan...
  • YANGA YAWASIMAMISHA NTIBANZOKIZA NA AMBUNDO
    YANGA YAWASIMAMISHA NTIBANZOKIZA NA AMBUNDO
    KLABU ya Yanga imewasimamisha wachezaji wake wawili, Dickson Ambundo na Mrundi Saido Ntibanzokiza kuelekea mechi ya Fainali ya Kombe la S...
Copyright Viral Sports: YANGA NA GSM WASAINI MKATABA WA UJENZI WA UWANJA KWA UMILIKI SAWA