Na Mwandishi Wetu, MBEYA
MBEYA City FC imesema iko tayari kwa mchezo dhidi ya mahasimu wao wa Jiji la Mbeya, Prisons katika Ligi Kuu ya soka ya Vodacom Tanzania Bara kesho Uwanja wa Sokoine mjini hapa.
Ofisa Habari wa Mbeya City, Dismas Ten amesema leo kwamba maandalizi ya kikosi chacke kuelekea mchezo huo yamekamilika na wana matarjio ya kufanya vizuri.
“Kesho ni siku ya mchezo, kwetu sisi huu ni mchezo muhimu kwa sababu tunahitaji kushinda ili tuendelee kuwa kwenye nafasi za juu kwenye msimamo wa ligi, maandalizi ya kutosha yamefanyika kwa hiyo ni nafasi kwa mashabiki wetu kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya kusapoti timu yao, jopo la madaktari wetu limenithibitishia kuwa Geoffrey Mlawa hatakuwepo uwanjani hiyo kesho lakini nyota wengine wako kwenye hali nzuri, huu ni msimu ambao City inarudi kwenye zama zake” alisema.
Mbeya City mazoezini jana kujiandaa na mchezo dhidi ya Prisons
Kuhusu utulivu na amani uwanjani kwa mashabiki watakaojitokeza kushuhudia mchezo huo, Ten alisema kuwa watu wanatakiwa kuzingatia amani kwa sababu mchezo wa soka hukutanisha watu wengi hivyo ni vyema mashabiki kushangilia timu zao huku wakiwa kwenye hali nzuri ya amani.
“Mashabiki wa City wajitokeze kwa wingi, wasiwe na shaka ya utulivu kwa sababu ulinzi utakuwepo wa kutosha, amani mchezoni ni jambo jema hivyo kila mmoja awe mlinzi wa mwenzake kuhakikisha tunashangilia timu yetu vizuri katika kuhanikiza ushindi huku tukiwa na wingi wa amani” alimaliza.
City inakutana na Prison huu ukiwa ni mchezo wa 7 kwenye mfululizo wa mechi za ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara huku rekodi zikionyesha kuwa City imepata ushindi mara 2, Prison wakishinda mara 3 na mara 1 timu hizi zikienda sare, Kiungo Peter Mapunda ndiye mchezaji anashika rekodi ya kufunga bao la kwanza kabisa kwenye mechi zilizokutanisha timu hizi mbili akifunga bao hilo kwenye mchezo wa duru ya kwanza msimu wa 2013/14 kwenye ushindi wa 2-0, misimu itatu iliyopita.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2cw0QSg
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MBEYA CITY WATAMBA WAKO TAYARI KWA PRISONS KESHO SOKOINE. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/09/mbeya-city-watamba-wako-tayari-kwa.html. Terimakasih atas perhatiannya.