Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KOZI ya makocha wa Mpira wa Miguu imefungwa leo Septemba 9, 2016 saa 5.00 asubuhi kwenye Ukumbi wa Hosteli ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).
Katibu Mkuu, Mwesigwa Selestine ndiye aliyefunga kozi hiyo ambako pamoja na mambo mengine, alitoa shukrani za pekee kwa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) akisema: “Tunajivunia kwa upendeleo huu, bila shaka ni kwa sababu hata wanafunzi wanaofanya kozi hii, wanafanya vema.”
Mwesigwa amesema kuendelea kutolewa kwa kozi hiyo ni nafasi ya pekee kwa maendeleo ya soka hasa la wanawake hapa nchini.
Katibu wa TFF, Selestine Mwesigwa (kushoto) amefunga kozi ya makocha
Akijibu risala la wahitimu wa kozi hiyo ambayo ililenga kuonyesha changamoto ya vifaa vya kufundishia kama vile mipira, vifaa, koni, jezi na filimbi Katibu Mkuu Mwesigwa anasema pia TFF imebanwa na ushuru wa kukomboa vifaa mbalimbali vya maendeleo ya soka bandarini, lakini akaonyesha imani na Serikali ambayo itasaidia.
“Muundo wa kodi pia ni changamoto kwetu,” amesema Mwesigwa na kuondelea: “Kama vifaa kama hivyo mlivyovaa gharama yake ni kubwa, lakini kama ushuru utaondolewa basi tutaendeleza soka na pengine washiriki wanaweza kuwa wengi zaidi ya ninyi.”
Mwesigwa amesema kwamba huu ni mwanzo mzuri wa kuelekea kuwa na benchi la ufundi la wanawake litakalokuwa na makocha wanawake tupu au pengine kuwa na mchanganyiko hata kwenye timu ya wakubwa.
Awali, Mkufunzi wa kozi hiyo ya FIFA, Andrea Rodebaugh Huimon kutoka Mexico alisifu darasa lake la watu 30 ambalo lilipata vyeti vya FIFA akisema: “Lilikuwa zuri na litafika mbali kwa kuwa walikuwa wasikivu, wanaofuata wakati na kushiriki mazoezi vema. Ujumbe huu naupeleka FIFA.”
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2cIAD1H
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MWESIGWA AFUNGA KOZI YA MAKOCHA DAR. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/09/mwesigwa-afunga-kozi-ya-makocha-dar.html. Terimakasih atas perhatiannya.