Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
UWANJA wa Uhuru ‘Shamba la Bibi’, zamani Taifa, Dar es Salaam utaanza kutumika kwa mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kuanzia kesho, imeelezwa.
Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Alfred Licas amesema kwamba mechi ya kwanza kuchezwa kwenye uwanja huo itakuwa kesho kati ya Simba SC na Ruvu Shooting.
“Napenda kuwafahamisha kuwa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam umeanza kutumika kwa mechi za Ligi Kuu ya Vodacom na Ligi Daraja la Kwanza,”amesema.
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea kesho baada ya mapumziko ya mwishoni mwa wiki kupisha mechi za mwisho za kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya, washindi wa Ngao ya Jamii, Azam FC watakuwa wageni wa Prisons wakati Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, washindi wa tatu wa Ligi Kuu msimu uliopita, Simba SC watamenyana na Ruvu Shooting na Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara mabingwa watetezi, Yanga SC watakuwa wageni wa Ndanda FC.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2cwTcIP
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SIMBA SC NA RUVU SHOOTING KUCHEZWA ‘SHAMBA LA BIBI’ KESHO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/09/simba-sc-na-ruvu-shooting-kuchezwa.html. Terimakasih atas perhatiannya.