Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KIKOSI cha wachezaji 20 wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga SC kinatarajiwa kuondoka kesho asubuhi Dar es Salaam kwa basi kwenda Mtwara kwa ajili ya mchezo dhidi ya wenyeji, Ndanda FC Jumatano.
Hata hivyo, kikosi hicho cha Mholanzi, Hans van der Pluijm kitawakosa wachezaji wake tegemeo sita, ambao wana udhuru tofauti.
Hao ni kipa Deogratius Munishi ‘Dida’ ambaye yupo kwenye msiba wa baba yake, mabeki Vincent Bossou ambaye yupona timu yake ya taifa ya Togo, Pato Ngonyani majeruhi sawa na winga Geofrey Mwashuiya.
Vincent Bossou hajarejea baada ya ruhusa ya kwenda kuichezea timu yake ya taifa ya Togo
Wengine ni kiungo Haruna Niyonzima ambaye yupo na timu yake ya taifa ya Rwanda na mshambuliaji Malimi Busungu ambaye pia ni majeruhi.
Kikosi kinachotarajiwa kusafiri kesho ni makipa; Ally Mustafa ‘Barthez’ na Beno Kakolanya, mabeki Juma Abdul, Hassan Kessy, Mwinyi Hajji Mngwali, Oscar Joshua, Mbuyu Twite, Kevin Yondan, Andrew Vincent ‘Dante’ na Nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro’.
Viungo ni Said Juma ‘Makapu’, Thabani Kamusoko, Simon Msuva, Deus Kaseke, Obrey Chirwa na Yussuf Mhilu wakati washambuliaji ni Donald Ngoma, Matheo Anthony na Amissi Tambwe.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2bOb51c
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms