Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU 12 zinatarajiwa kushiriki Ligi ya Taifa ya Wanawake inayotarajiwa kuanza Novemba mosi, mwaka huu kwa mujibu wa taarifa ya Kamati ya Maendeleo ya Soka la Wanawake na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), zilizoridhia tarehe hiyo.
Tayari klabu zimeagizwa kuzingatia jina kuenenda na namba za jezi mgongoni ili kuepusha mkanganyiko wa wachezaji wakati wa ligi hiyo inayofanyika kwa mara ya kwanza nchini Tanzania.
Timu 12 zinatarajiwa kushiriki ligi hiyo ambako kesho Oktoba 8, 2016 itakuwa ni siku ya kuchambua fomu za usajili wakati Oktoba 10, mwaka huu majina ya usajili yatatangazwa ambako pia klabu zitatumiwa kupitia anwani za barua pepe.
Oktoba 11 na 12, 2016 ni muda wa klabu kuleta mapingamizi yatakayosikilizwa Oktoba 15, mwaka huu. Majina ya pingamizi yatatangazwa kabla ya Oktoba 20, 2016 na maandalizi ya ligi yataendelea.
Wakati wote huo wa usajili, klabu hazina budi kutangaza aina ya rangi wanazotumia katika michezo ya nyumbani na ugenini na kutakiwa kusafiri na jozi zote mbili ili kuepuka mkanganyiko wa kufanana jezi.
Kutakuwa na jopo la makocha watakaofanya uteuzi wa wachezaji nyota watakaoitwa kwenye timu za taifa ambaye atagharamiwa na TFF.
Vyama vya mikoa visadie klabu katika bajeti zao kwa vile tathamini inaonyesha kuwa fedha zinazotoka hazitoshi. Vyama hivyo vya mikoa pia visaidie maandalizi ya michezo kama vile kuandaa uwanja nakadhalika ukioandoa waamuzi ambao watagharamiwa na TFF.
Hakutakuwa na zawadi ya fedha zaidi ya kombe la medali kwa timu shiriki, labda kama atatokea mdhamini mwingine. Hakutakuwa na zawadi kwa mchezaji bora, mfungaji bora, kipa bora, ingawa kutakuwa na jopo la kuwachagua. Mchezaji bora atachaguliwa kwenye hatua za mwisho wa mashindano, mfungaji bora atachaguliwa kuanzia hatua ya kwanza ya mashindano.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2dERx21
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang LIGI YA WANAWAKE KUANZA NA TIMU 12 OKTOBA 8. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/10/ligi-ya-wanawake-kuanza-na-timu-12.html. Terimakasih atas perhatiannya.