Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Yanga, Yussuf Manji ametii agizo la Mahakama kwa kuufuta Mkutano Mkuu wa dharula wa klabu ya Yanga uliopangwa kufanyika kesho makao makuu ya klabu, Jangwani, Dar es Salaam.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana ilitoa katazo la kufanyika Mkutano wa kesho kufutia kesi iliyofunguliwa na baadhi ya wanachama wa klabu hiyo.
Manji ametangaza kuufuta Mkutano huo mchana wa leo akizungumza na Waandishi wa Habari Jangwani.
Na amesema taratibu za kisheria zinafanyika juu ya kupambana na pingamizi hilo ili liondolewe na tarehe nyingine ya Mkutano itatajawa mara mpango huo utakapofanikiwa.
Kwa mujibu wa hati ya agizo halali la Mahakama, uongozi wa Yanga umezuiwa kufanya Mkutano huo baada ya kesi iliyofunguliwa mahakamani hapo dhidi ya Mwenyekiti wa klabu, Yussuf Manji na Kampuni ya Yanga Yetu.
Ajenda kuu ya Mkutano huo ilikuwa ni kupitisha Baraza la Wadhamini la klabu hiyo pamoja na kuondoa Mjumbe mmoja na kuweka mpya.
Na hayo yanafuatia Baraza la Wadhamini kuikodisha timu kwa kampuni ya Yanga Yetu kwa miaka 10, baada ya wanachama kuafiki ombi la Mwenyekiti wao, Yussuf Manji katika Mkutano wa Agosti 6, mwaka huu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2eDTlsl
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MANJI AFUTA MKUTANO WA KESHO, LAKINI ASEMA ATAPAMBANA NAO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/10/manji-afuta-mkutano-wa-kesho-lakini.html. Terimakasih atas perhatiannya.