UGANDA imepangwa Kundi D pamoja na Ghana, Mali na Misri katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mapema mwakani nchini Gabon.
Katika droo iliyopangwa usiku wa leo mjini Libreville Gabon, Uganda imejikuta inawekwa pamoja na wapinzani wake wawili wa Kundi E katika kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Dunia 2018 Urusi, Ghana na Misri.
Timu nyingine katika Kundi E kuwania tiketi ya Urusi 2018, Kongo haijafuzu AFCON ya mwakani Gabon.
Wenyeji, Gabon wamepangwa na Burkina Fasso, Cameroon na Guinea Bissau, wakati mabingwa watetezi, Ivory Coast wamepangwa pamoja na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Morocco na Togo.
Kundi C linaundwa na Algeria, Tunisia, Senegal na Zimbabwe.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2dOXMix
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang UGANDA YAPANGWA NA GHANA, MISRI FAINALI ZA AFRIKA 2017 GABON. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/10/uganda-yapangwa-na-ghana-misri-fainali.html. Terimakasih atas perhatiannya.