Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
IKICHEZA kwa uelewano mkubwa usiku wa jana, Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 8-1 dhidi ya Mvuvumwa ya mkoani Kigoma katika mchezo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Mchezo huo ulikuwa ni sehemu ya kuwaweka fiti wachezaji wakati huu wa mapumziko ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) iliyosimama kupisha michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea kutimua vumbi nchini Kenya.
Mabao ya Azam FC yamefungwa na winga machachari aliyekuwa kwenye ubora wake, Enock Atta, mshambuliaji Wazir Junior na winga Idd Kipagwile, ambao kila mmoja alifunga mawili huku mabao mengine mawili yaliyobakia yakiwekwa kimiani na kiungo Salmin Hoza na mshambuliaji chipukizi, Paul Peter.
Benchi la ufundi la Azam FC, pia liliutumia mchezo huo kama sehemu ya kuwapa nafasi wachezaji ambao hawajapata nafasi ya kutosha ya kucheza kwenye mechi za ligi kama vile mabeki wa pembeni, Hamimu Karim, Swaleh Abdallah, beki wa kati David Mwantika, kiungo Masoud Abdallah, ambao walianza katika kikosi cha kwanza.
Mara baada ya mchezo huo, kikosi cha Azam FC kitaendelea tena na programu yake ya mazoezi leo Alhamisi saa 12.00 jioni na keshokutwa Ijumaa kabla ya Jumamosi hii kucheza mechi nyingine ya kirafiki.
Kikosi cha Azam FC kilikuwa; Benedict Haule, Swaleh Abdallah/Daniel Amoah dk 43, Hamimu Karim, David Mwantika, Agrey Moris (C), Salmin Hoza, Frank Domayo/Bryson Raphael dk 80, Masoud Abdallah/Idd Kipagwile dk 57, Paul Peter/Wazir Junior dk 71, Enock Atta, Joseph Mahundi/Ramadhan Singano dk 68.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2CfFaFd
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM FC YAIMIMINIA 8-1 MVUVUMWA MECHI YA KIRAFIKI CHAMAZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/12/azam-fc-yaimiminia-8-1-mvuvumwa-mechi.html. Terimakasih atas perhatiannya.