Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
HATIMAYE Mfumo wa Usajili wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kwa njia ya mtandao, maarufu kama TMS umefunguliwa tena kwa ajili ya Ligi Kuu ya Vodacom na Daraja la Kwanza Tanzania Bara.
Hiyo inafuatia kurekebishwa kwa hitilafu zilizojitokeza baada ya jitihada za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuwasiliana na waendeshaji wa mfumo huo walioko Tunis, Tunisia ili kuziwezesha timu za Bara ziendelee na usajili.
Ofisa Habari wa TFF, Alfred Lucas ameiambia Bin Zubeiry Sports – Online kwamba mtandao huo kwa sasa upo wazi. “Hivyo TFF inazitaka timu zote sasa kukamilisha usajili kuanzia pale walipokwama. Timu zinatakiwa kusajili kabla ya Desemba 23, mwaka huu,” amesema Lucas.
Desemba 15, mwaka huu mfumo wa usajili kwa njia ya TMS ulifeli hali iliyosababisha vilabu kushindwa kukamilisha usajili kwa wakati kupitia mfumo huo.
Katika mawasiliano na kampuni hiyo, FIFA na CAF wamekuwa wakipewa Taarifa ya kila hatua inayochukuliwa na TFF hadi mfumo huo kufunguka leo Desemba 19, 2017.
Bado TFF inasisitiza vilabu vyote kuzingatia kusajili kwa wakati pale inapotokea dirisha la usajili limefunguliwa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2CGmaPp
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang FIFA YAIFUNGULIA TENA TANZANIA MTANDAO WA USAJILI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/12/fifa-yaifungulia-tena-tanzania-mtandao.html. Terimakasih atas perhatiannya.