Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
ALIYEWAHI kuwa Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) enzi za FAT (Chama cha Soka Tanzania), Mohammed Misanga amefariki dunia leo akiwa ana umri wa miaka 72
Misanga, Mbunge wa zamani wa jimbo la Singida Kusini (CCM), amefariki dunia katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu.
Misanga aliyezaliwa Macchi 15, mwaka 1945 amekuwa Mbunge wa Singida Kusini tangu mwaka 2010 na awali mbali ya kuwa kiongozi wa FAT alikuwa pia Katibu wa Yanga SC.
Mohammed Misanga (kushoto) amefariki dunia leo akiwa ana umri wa miaka 72
Misanga alikuwa Katibu mkuu wa Yanga wakati inaingia kwenye mgogoro mkubwa wa kihistoria mwaka 1976 uliosababisha klabu kukatika vipande na baadaye kuzaliwa Pan Africa.
Na Misanga ndiye aliyetangaza kufukuza kwa wachezaji waandamizi wote wakiwemo akina Leodegar Tenga, Omar Kapera, Juma Pondamali, Mohamed ‘Adolf’ Rishard na wengineo.
Mungu aipumzishe kwa amani roho ya marehemu. Amin.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2iMmRPe
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms