Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
TIMU ya Mtibwa Sugar imekishangaa Chama cha Soka Zanzibar (ZFA) kwa kutowajumuisha kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi la Mapinzuzi mwaka huu.
Katibu Msaidizi wa Mtibwa, Abubakar Swabur ameiambia Bin Zubeiry Sports – Online leo kwamba wanastaajabu kutojumuishwa kwenye Kombe wakati wao ni washiriki wazoefu na wa kihistoria.
“Sisi ni kati ya washiriki wa kwanza kabisa wa Kombe la Mapinduzi mwaka 2007 lilipoanzishwa na tumeendelea kushiriki bila kukosa wakati wote. Tumekuwa tukishiriki hata wakati ambao timu nyingine kubwa za Bara hazikutaka kwenda. Kwa kiasi kikubwa sisi tumeibeba sana ile michuanjo, ila ajabu leo tunawekwa kando,”amesema Swabur.
Hata hivyo, Mtibwa wamesema hawana kinyongo na waandaaji wa michuano hiyo kwa sababu wao ndiyo wenye uamuzi. “Sisi tunaelekeza nguvu zetu kwenye majukumu yetu mengine, tunawaachia Mapinduzi yao, ila tunaipenda sana hiyo michuano,”amesema Swabue.
Katika hatua nyingine, Swabur amesema kwamba makipa wao wawili waliokuwa majeruhi, Shaaban Kado na Abdallah Makangana wote wamepona na wamejiunga na timu Manungu, Turiani mkoani Morogoro kwa mazoezi.
Swabur amesema beki Dicksons Daudi anaendelea kupata ahueni ya maumivu ya jino taratibu akiwa kambini na akipona ataanza mazoezi.
Ameongeza kwamba ni wachezaji wawili tu wanakosekana kwa sasa kambini Mtibwa Sugar, beki Salum Kanoni anayesumbuliwa na maumivu ya enka na kiungo Henry Hoseph anayeumwa goti.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2Bd0uNU
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MTIBWA SUGAR WAISHANGAA ZFA KUWAENGUA KOMBE LA MAPINDUZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/12/mtibwa-sugar-waishangaa-zfa-kuwaengua.html. Terimakasih atas perhatiannya.