Na Mwandishi Wetu, DODOMA
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Joh Pombe Joseph Magufuli ametangaza kuwasamehe mwanamuziki Nguza Viking maarufu kama Babu Seya na mwanawe, Papi Kocha, waliokuwa wakitumikia kifungo cha maisha gerezani.
Akihutubia taifa katika sherehe za Uhuru mjini Dodoma leo, Rais Magufuli pia ametangaza kuwasamehe wafungwa wengine 8,157, na kuagiza wafungwa 1,828 kati yao watolewe magerezani mara moja na waliobaki wapunguziwe muda wa kukaa gerezani ili waje kutolewa kwa mujibu wa vifungo vyao.
Pia ametangaza kuwasamehe wafungwa 61 waliokuwa wamehukumiwa kunyongwa, na kuagiza watolewe gerezani leo au kesho.
Babu Seya (kushoto) na mwanawe, Papii Kocha kulia wameachiwa kwa msamaha wa Rais
Kuhusu waliohukumiwa kunyongwa, Rais Magufuli ametoa mifano kwa kusema; “Yuko mtu aliyefungwa akiwa na miaka 18, na sasa hivi ana miaka sitini na kitu. Yumo mtu anaitwa Mganga Matonya, ana miaka 85 na ameishakaa gerezani miaka 44,”.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2AFqjU1
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang RAIS MAGUFULI AWASAMEHE BABU SEYA NA PAPII KOCHA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/12/rais-magufuli-awasamehe-babu-seya-na.html. Terimakasih atas perhatiannya.