Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta amesema kwamba anafurahi hali yake inaendelea kuimarika vizuri na ni matarajio yake kurejea uwanjani mapema kabisa Januari.
Mchezaji huyo wa KRC Genk ya Ubelgiji kwa sasa anaendelea na mazoezi ya gym kwa bidii katika kupambana na maumivu yake ya goti.
Akizunguma na Bin Zubeiry Sports – Online leo kutoka Genk, Samatta amesema kwamba anaendelea vizuri na goti lake kiasi kwamba anaamini atarejea uwanjani akiwa imara zaidi.
“Poa, ninaendelea vizuri kabisa namshukuru Mungu, bado nipo kwenye mazoezi ya gym”amesema Samatta aliyefanyiwa upasuaji wa goti hilo Novemba 10 mjini Genk, Ubelgiji.
Mbwana Samatta anafurahi hali yake inaendelea kuimarika vizuri na anatarajia kurejea uwanjani mapema Januari
Samatta amekamilisha wiki nne kati ya sita za mapumziko za kuwa nje kufuatia kuumia Novemba 4, mwaka huu akiichezea klabu yake, KRC ikilazimishwa sare ya 0-0 Jumamosi na Lokeren katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza A Ubelgiji Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk.
Na baada ya kufanyiwa vipimo iligundulika Samatta aliumia kwenye mishipa midogo ya goti lake la mguu wa kulia ambayo ilichanika, hivyo kuhitaji kufanyiwa upasuaji mdogo ili apone sawia.
Samatta aliumia akiichezea mechi ya 70 Genk tangu alipojiunga nayo Januari mwaka 2016 akitokea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Na katika mechi hizo 70, Samatta, mshambuliaji wa zamani wa Mbagala Market, African Lyon na Simba za Tanzania, amefunga mabao 22 kwenye mashindano yote.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2C4OJGe
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SAMATTA: NINAENDELEA VIZURI NAMSHUKURU MUNGU. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/12/samatta-ninaendelea-vizuri-namshukuru.html. Terimakasih atas perhatiannya.