BONDIA Tyson Fury ameruhusiwa kucheza ngumi za kulipwa baada ya kukubali adhabu yake ya kufungiwa miaka miwili kwa kosa la kutumia dawa za kuongeza nguvu zilizopigwa marufuku michezoni.
Bingwa huyo wa zamani wa uzito wa juu duniani, amekuwa nje ya ulingo tangu amshinde Wladimir Klitschko Novemba mwaka 2015.
Muingereza huyo alifungiwa Juni mwaka 2016 na taasisi ya Kupambana na Dawa za Kulevya Michezoni nchini Uingereza (UKAD), lakini sasa anaweza kuanza kucheza tena mwakani akikata leseni upya.
Na baada ya kufutiwa adhabu hiyo, Fury mara mpja ameanza kumchokoza Muingereza mwenzake, anayeshikilia mataji ya WBA na IBF, Anthony Joshua.
'@anthonyfjoshua uko wapi? Ninakuja kwako (sic) namba1 umwziba nafasi yangu sasa," ameandika kwenye ukurasa wake wa Twiter.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2nU9Jgn
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TYSON FURY ARUHUSIWA KURUDI ULINGONI, AMTAKA JOSHUA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/12/tyson-fury-aruhusiwa-kurudi-ulingoni.html. Terimakasih atas perhatiannya.