Na Salma Suleiman, DAR ES SALAAM
YANGA SC imelazimishwa sare ya bila kufungana na Polisi Tanzania katika mchezo wa kirafiki jioni ya leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Katika mchezo huo uliohudhuriwa na watazamaji wachache, Yanga ilishindwa kabisa kutegua mitego ya Polisi ili kupata bao.
Pamoja na benchi la ufundi la Yanga kubadili karibu wachezaji wote kipindi cha pili, akiwaningiza nyota wa kikosi cha kwanza akina Youthe Rostande, Papy Kabamba Tshishimbi, Geoffrey Mwashiuya na Burhan Akilimali kuchukua nafasi za Benno Kakolanya, Hassan Kessy, Maka Edward na Yusuph Mhilu, lakini mambo yaliendelea kuwa magumu.
Kiungo Pius Buswita aliikosesha Yanga bao la wazi dakika ya 57 baada ya kushindwa kumalizia krosi ya Geoffrey Mwashiuya.
Akicheza kwa mara ya kwanza msimu huu, mshambuliaji Mrundi Amissi Joselyn Tambwe aliyekuwa majeruhi kwa muda mrefu alikaribia kufunga dakika ya 64 kama si mpira alioupiga kwa kichwa kufuatia krosi ya Burhan Akilimali kwenda nje.
Polisi nao walikaribia kupata bao dakika ya 66 baada ya shuti la Ahmad Kambangwa kwenda nje sentimita chache.
Buswita tena dakika ya 76 akaunganishia nje kwa shuti dhaifu kona ya Juma Abdul kabla ya dakika ya 80 mchezaji wa zamani wa Mbao FC kumtilia pasi nzuri Akilimali aliyepiga shuti lililotua mikononi mwa kipa wa Polisi, Kondo Salum.
Kikosi cha Yanga SC kilikuwa; Beno Kakolanya/Youthe Rostand dk46, Juma Abdul, Hassan Kessy/Burhan Akilimali dk46, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Andrew Vincent ‘Dante’, Pato Ngonyani/Said Juma ‘Makapu’ dk50, Pius Buswita, Maka Edward/Papy Kabamba Tshishimbi dk46, Amissi Tambwe, Yussuf Mhilu/Geoffrey Mwashiuya dk46 na Emmanuel Martin/Yohanna Nkomola dk74.
Polisi Tanzania; Kondo Salum/Ally Abdul dk84, James Ambrose, Juma Ramadhan, Lakini Mwakalukwa, Ezekiel Lawi, Abdallah Mudhihiri, Benedicto Elius/Ahmad Kambangwa dk49, Jeremiah Katula, Jackson Wawa, Tizzo Chomba na Ally Mabuya.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2yMNkSx
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA WASHINDWA KUFURUKUTA KWA POLISI TZ, SARE 0-0 UHURU. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/12/yanga-washindwa-kufurukuta-kwa-polisi.html. Terimakasih atas perhatiannya.