Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MECHI za mwisho za Kundi A la michuano ya kombe la Kagame zimechezwa usiku wa leo katika viwanja viwili jijini Dar es Salaam.
Kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, mabingwa watetezi Azam FC wamepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya JKU ya Zanzibar.
Mabao ya Azam katika mchezo huo yalifungwa na Ditram Nchimbi na Frank Domayo na sasa katika msimamo wa Kundi A, Azam ipo kileleni ikiwa na pointi saba kifuatiwa na Vipers ya Uganda yenye pointi tano.
Katika mchezo mwingine uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa kuanzia saa 1:00 usiku, Vipers ya Uganda imeifunga Kator FC ya Sudan Kusini mabao 3-0.
Azam na Vipers tayari zimefuzu kucheza robo fainali ya michuano ya Kombe la Kageme lakini JKU yenye pointi nne inasubiri bahati ya kuvuka kama mshindwa bora.
Kesho zitachezwa mechi za mwisho za Kundi B ambapo AS Ports ya Djibouti itacheza na Gor Mahia ya Kenya huku Lydia Ludic ya Burundi itacheza na Rayon Sports ya Rwanda.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2IRtwCE
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms