Na Mwandishi Wetu, MWANZA
KATIKA kuhakikisha inafanya vizuri kwenye Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara na kurejea Ligi Kuu, klabu ya Pamba FC ya mjini Mwanza imemchukua Hassan Banyai kuwa kocha wake Mkuu kwa msimu wa 2018/2019.
Banyai, mchezaji wa zamani wa timu ya mkoa wa Dar es Salaam ‘Mzizima United’, anajiunga na Pamba FC, mabingwa wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mkataba wamwaka mmoja.
Afisa Habari wa klabu ya Pamba FC, Johnson James amesema kwamba uongozi wa klabu umevutiwa na rekodi ya kocha huyo na una matumaini makubwa ya kurejea Ligi Kuu klabu yao timu ikinolewa na Banyao.
Hassan Banyai ameingia mkataba wa mwaka na Pamba FC kwa msimu wa 2018/2019
Hatua ya klabu hiyo kumchukua kocha huyo inapongezwa na katibu mkuu wa chama cha Soka Mwanza (MZFA), Leonard Malongo ambaye pamoja na mambo mengine ameeleza mkakati wa MZFA katika kuzisaidia klabu za Mwanza kufanya vyema katika mashindan mbalimbali.
Kwa taklibani miaka 18 Klabu ya Pamba ya jijini hapa imekuwa ikifanya jitihada mbalimbali kuhakikisha inarejea Ligi Kuu bila mafanikio, hatua ambayo hata hivyo haiwakatishi tamaa wadau wa klabu hiyo katika kuiunga mkono klabu hiyo.
Pamba ilikuwa timu tishio katika soka ya Tanzania tangu miaka ya 1970 kabla ya kuja kupewa jina la utani, TP Lindanda miaka ya 1980 mwishoni na sasa inataka kurejea Ligi Kuu kupitia kwa Banyai, kocha wa zamani wa Njombe Mji FC.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2L1wtCB
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms