BONDIA bingwa wa dunia wa uzito wa juu, Muingereza Anthony Joshua jana alikutana kwa mara ya kwanza na mpinzani wake ajaye, Alexander Povetkin mjini New York, lakini akaishia kutaka kupigana na mbabe mwingine wa uzito wa juu Marekani, Jarrell 'Big Baby' Miller baada ya wawili hao kubadilishana maneno.
Anthony Joshua alikuwa anaonyesha mikanda yake ya dunia huku akitambulishwa na MC kwenye ukumbi wa mikutano, lakini nyuma yake Miller akawa anatoa maneno ya dhihaka.
Joshua alishindwa kuvumilia na kugeuka kuanza kujibizana, kiasi cha kutaka kukabidhi mikanda ili wazipige kavu kavu – lakini wakatenganishwa na shughuli ikaendelea.
Anthony Joshua akijibizana na Jarrell 'Big Baby' Miller jana mjini New York, Marekani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joshua anayeshikilia mikanda ya IBF, WBA na WBO anatarajiwa kukutana ulingoni na Alexander Povetkin Septemba 22, mwaka huu Uwanja wa Wembley mjini London.
Mbabe wa Urusi, Povetkin alimbwaga bondia David Price katika pambano la utangulizi kabla ya Joshua kuzipiga na Joseph Parker Machi mwaka huu na kushinda kwa pointi.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2L3WVPS
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms