Na Mwandishi Wetu, KIGALI
TIMU ya wanawake ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Queens imeanza vibaya michuano ya Kombe la Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge baada ya kufungwa 1-0 na wenyeji, Rwanda Uwanja wa Nyamirambo mjini Kigali.
Bao pekee la Nyigu wa kike wa Rwanda lililoizamisha Bara leo limefungwa na Kalimba Alice dakkika ya 34 katika mchezo huo. Michuano hiyo inashirikisha timu tano, nyingine ni Kenya, Uganda na Ethiopia.
Mechi ya kwanza Uganda iliimiminia Kenya 1-0 hapo hapo Uwanja wa Nyamirambo.
Jumamosi Tanzania Bara itamenyana na Kenya, wakati Uganda itamenyana na Ethiopia. Bara watateremka tena uwanjani Jumatatu kumenyana na Uganda, siku ambayo Rwanda itamenyana na Ethiopia.
Jumatano kutakuwa na mechi mbili pia, Kenya na Ethiopia na Uganda an Rwanda. Mechi za mwisho zitachezwa Ijumaa ya Julai 27, Tanzania Bara na Ethiopia na Rwanda na Kenys.
Ikumbukwe Tanzania ndiyo mabingwa watetezi waliotwaa Kombe mwaka jana nchini Uganda.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2zTZoah
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms