Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MAREFA watakaoshiriki Kozi ya Utimamu wa mwili kwa ajili ya kuchezesha mechi za Ligi Kuu, Daraja la kwanza (FDL) na Daraja la Pili (SDL) msimu wa 2018/2019 wametakiwa kujigharamia kwenda vituoni Mwanza na Dar es Salaam.
Taarifa ya Ofisa Habari wa TFF, Clifford Mario Ndimbo imesema kwamba kozi hiyo itahusisha waamuzi wote wa Daraja la Kwanza nchini, waliochezesha Ligi ya Mabingwa wa Mikoa(RCL) na waliochezesha mashindano ya U20 ya Uhai Cup.
"Kila Mwamuzi atatakiwa kujigharamia na ndio maana TFF imeweka vituo viwili ili kupunguza makali ya gharama. Kila Mwamuzi atatakiwa kuja na Passport size 2 kwaajili ya kuingia kwenye data za kiuamuzi na atatakiwa kujaza fomu ya taarifa binafsi,"imesema taarifa.
Kituo cha Dar es Salaam kitakuwa na mikoa ya Dar es Salaam yenyewe,Pwani,Morogoro,Dodoma,Tanga,Iringa,Njombe,Mbeya,Ruvuma,Songwe,Lindi,Mtwara na Katavi.
Kituo cha Mwanza kitakuwa na Mwanza yenyewe,Kagera,Geita, Mara, Simiu, Shinyanga, Kigoma, Tabora, Singida, Manyara, Arusha, Kilimanjaro na Rukwa.
RATIBA YA KOZI
Julai 13, 2018 Kuwasili
Julai 14,2018 Usajili na kupima vituo vya Mwanza na Dar es Salaam
Julai 15,2018 Utimamu na Semina (Asubuhi na Mchana)
Julai 16,2018 Mtihani wa Waamuzi
Julai 17,2018 Kuwasili Makamishna/Kujiorodhesha
Julai 18,2018 Semina na Mtihani kwa Makamishna
Julai 19,2018 Kusafiri kutoka Mwanza kwenda Dar es Salaam
Julai 21,2018 Kusahihisha Mtihani na kuteua Waamuzi/Makamishna
Julai 23,2018 Kupanga ratiba za Ligi Kuu,FDL na SDL
Julai 27,2018 Kukamilisha Upangaji wa ratiba
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2uc1Jav
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms