MSHAMBULIAJI chipukizi, Kylian Mbappe amekataa kuondoka Paris Saint-Germain msimu huu baada ya kutwaa ubingwa wa dunia.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 19 amekuwa miongoni mwa nyota waliong'ara kwenye fainali za Kombe la Dunia na kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi, akiweka rekodi ya mchezaji wa pili mdogo kufunga bao kwenye fainali ya Kombe la Dunia, baada ya Pele mwaka 1958, kikosi cha Didier Deschamps' kikiifunga Croatia 4-2.
Kiwango cha Mbappe kimemfanya ahusishwe na Real Madrid, ambayo inatafuta Galactico mwingine, baada ya kumruhusu Cristiano Ronaldo kujiunga na Juventus kwa ada ya Pauni Milioni 100.
Kylian Mbappe amekataa kuondoka Paris Saint-Germain msimu huu kuhamia Real Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pamoja na hayo baada ya fainali, Mbappe amesema kwamba hana mpango msimu huu.
"Nitabaki PSG, kuendelea nao,"Mbappe aliwaambia Waandishi wa Habari. "Nipo mwanzoni mwa maisha yangu ya soka,".
Real Madrid pia imekuwa ikihusishwa kwa kiasi kikubwa na Neymar kumsajili msimu huu katika jitihada za kumtafuta nyota wao mpya.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2JoZS80
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MPAPPE AIKATAA REAL MADRID ASEMA ANABAKI PSG AKOMAE ZAIDI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/07/mpappe-aikataa-real-madrid-asema.html. Terimakasih atas perhatiannya.