Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI chipukizi wa Azam FC, Shaaban Iddi Chilunda amesaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na CD Tenerife ya Daraja la Kwanza nchini Hispania.
Meneja wa Azam FC, Philipo Alando ameiambia Bin Zubeiry Sports – Online leo kwamba klabu hiyo ya Santa Cruz mjini Tenerife, visiwa vya Canary imeamua kumchukua mchezaji huyo, baada ya kuvutiwa na mchezaji mwingine wa Tanzania, Farid Mussa.
Alando amesema kwamba ni wiki mbili tu tangu Tenerife imnunue moja kwa moja mchezaji mwingine wa zamani wa Azam FC, winga Farid Mussa ambaye pia walimchukua kwanza kwa mkopo miaka miwili iliyopita.
Shaaban Iddi amesaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na CD Tenerife ya Daraja la Kwanza nchini Hispania
Alando amesema kwamba uongozi wa Azam FC imetoa baraka zake zote kwa mchezaji huyo kwenda kujaribu maisha mapya Ulaya baada ya kazi nzuri katika misimu yake miwili ya kuwa kikosi cha kwanza cha Azam FC.
Shaaban Iddi ambaye atatimiza miaka 20 Julai 20 mwaka huu tangu azaliwe mwaka 1998, alijiunga na akademi ya Azam FC Jumamosi ya Julak 21, mwaka 2012 kabla ya miaka miwili baadaye kupandishwa kikosi cha kwanza.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2zdAKRW
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms