Na Mwandishi Wetu, MARA
KLABU ya Biashara United ya Mara imemtangaza Haji Mtete kuwa Katibu Mkuu wake kuanzia sasa ili kukidhi sifa zinazotakiwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa klabu za Ligi Kuu, ambayo mojawapo ni kuwa na Sekretarieti.
Lakini pia Mwenyekiti wa klabu hiyo, Suleiman Mataso amesema kwamba baada ya muda mrefu wa klabu kutokuwa na Mtendaji Mkuu wamelazimika pia kufanya uteuzi huo.
Amesema kwamba kwa kukosa Mtendaji Mkuu rasmi wa klabu, ilisababisha mambo mengine kutokamilika kwa wakati.
Mwenyekiti wa Biashara United, Suleiman Mataso (katikati) akimtambulisha Haji Mtete (kushoto) kuwa Katibu Mkuu wa klabu leo
"Tumekuwa na shida sana kwa kutokuwa na Katibu mkuu hatua ambayo mambo mengine yakikuwa yanakwama" alisema Mwenyekiti hiyo
Kwa upande wake, Katibu Mkuu huyo wa klabu hiyo, Mtete ameshukuru uongozi wa klabu hiyo kumpa nafasi hiyo na kusema atatumia nafasi hiyo kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri.
"Kwanza mimi ninashukuru kwa uamuzi huu wa uongozi wa timu ya Biashara United (Mara) kunipa nafasi hii na naamini nitasaidiana na viongozi wengine kuhakikisha msimu huu tunafanya vizuri katika ligi kuu Tanzania Nara"alisema Mtete
Haji Mtete amewahi kuwa mwenyekiti wa Chama cha Soka wilaya ya Musoma kwa kipindi cha miaka nane na katika wa chama cha Makocha mkoani humo kwa miaka mitatu
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2m3HfNy
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms