Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MECHI ya Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Mtibwa Sugar na Yanga SC iliyopangwa kufanyika Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro Agosti 23, mwaka huu imehamishiwa Uwanja wa Uhuru mjini Morogoro katika siku hiyo hiyo.
Mkurugenzi wa Bodi ya Ligi, Boniphace Wambura amesema kwamba wamelazimika kufanya mabadiliko hayo baada ya wamiliki wa Uwanja kusema siku hiyo watakuwa wanautumia kwa shughuli nyingine.
Kwa sababu hiyo, Wambura amesema kwamba Mtibwa Sugar watakwenda kuanzia ugenini dhidi ya Yanga katika mzunguko wa kwanza wa ligi na mchezo wa marudiano utafuatia nyumbani.
Mtibwa Sugar wataanzia ugenini dhidi ya Yanga katika mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu
Pamoja na hayo, Wambura amesema kwamba mechi mbili za mwanzo za Ligi Kuu za klabu ya Simba SC zilizokuwa zichezwe Uwanja wa Taifa, dhidi ya Tanzania Prisons Agosti 22 na Mbeya City Agosti 25 zitahamishiwa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Wambura amesema kwamba hiyo ni baada ya Serikali, wamiliki wa viwanja hivyo kusema Uwanja wa Taifa utakuwa na shughuli nyingine Agosti 22 na 25 na kwamba Simba SC wataruhusiwa kucheza mechi yao ya tatu ya Ligi dhidi ya Lipuli FC ya Iringa Septemba 1, mwaka huu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2w79FuH
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms