Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
SIMBA SC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Arusha United jioni ya leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha.
Huo ni ushindi wa kwanza kwa Simba SC tangu irejee kutoka Uturuki kwenye kambi yake ya kujiandaa na msimu baada ya sare mbili mfululizo, 1-1 na Asante Kotoko mjini Dar es Salaam na 0-0 Nyamungo FC huko Ruangwa mkoani Lindi.
Katika mchezo wa leo, mabao ya Simba SC yamefungwa na mshambuliaji wake Mganda, Emmanuel Okwi dakika za saba na 29 wakati bao pekee la AU limefungwa na Ally Kabunda dakika ya 17.
Baada ya mchezo huo, Simba SC iliyo chini ya kocha Mbelgiji, Patrick J Aussems itaendelea na mazoezi kesho mjini Arusha, kabla ya Ijumaa kupanda ndege kwenda Mwanza ajili ya mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Mtibwa Sugar Jumapili.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2MQRsbU
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms